MAKALA

Tuesday, June 17, 2014

First Communion

Lord Jesus Christ, in the Sacrament of
the Eucharist You left us the outstanding
manifestation of your limitless love for us.
Thank You for giving our child the
opportunity to experience this love
in receiving the Sacrament for the first time.
May your Eucharist presence keep him/her
ever free from sin, fortified in faith,
pervaded by love for God and neighbor,
and fruitful in virtue, that he/she may
continue to receive You throughout life and
attain final union with You at death. Amen


show your concerns

Holy Mary

Holy Mary,
help those in need,
give strength to the weak,
comfort the sorrowful,
pray for God's people,
assist the clergy,
intercede for religious.
Mary all who seek your help
experience your unfailing protection.
Amen.



SAY THIS PRAYER BEFORE YOU LEAVE HOME TODAY

Lord I need you;
To guide me from all dangers
from sudden deaths and accidents
from all storms and lightening
but mostly to guide me away from sin this day.

Grant me your love and Joy
May I remain faithful to you till the end, and at last, be united with you in heaven forever.
Lord be near me today. Amen.

Thursday, June 12, 2014

PRAYER FOR RELIEVING STRESS AND ANXIETY


Lord, there has been too much change in my life recently, and I feel overwhelmed. Because I try to be a responsible person, I sometimes forget that it is unwise for me to allow my sense of duty to override my common sense.
Lord, help me to allow myself more time to rest, relax, and pray. Guide me toward something spiritual to read every day and a quiet time afterwards to reflect on what I have read and how it pertains to my life. I truly want to simplify my life and live more as Christ did. Help me remember that there is no loss or problem I must face alone. You are always near, with Your love and compassion to comfort me.
Amen.

NIGHT PRAYER

In the name of the Father + and of the Son, and of the Holy Spirit. Amen.
Lord Jesus Christ, my God, I adore You and thank You for all the graces You have given me today. I offer You my sleep and all the moments of this night, and I beseech You to keep me without sin and from all evils. I therefore put myself within Your Sacred Side and Your Sacred Heart; as well as under the mantle of Our Lady, my Mother. Let Your Holy Angels stand about me and keep me in peace throughout this night, and let Your blessings be upon me and all my loved ones, now and for evermore. Amen.

 

Mary has the authority over the angels

"Mary has the authority over the angels and the blessed in heaven. As a reward for her great humility, God gave her the power and mission of assigning to saints the thrones made vacant by the apostate angels who fell away through pride. Such is the will of the almighty God who exalts the humble, that the powers of heaven, earth and hell, willingly or unwillingly, must obey the commands of the humble Virgin Mary.
For God has made her queen of heaven and earth, leader of his armies, keeper of his treasure, dispenser of his graces, mediatrix on behalf of men, destroyer of his enemies, and faithful associate in his great works and triumphs."

 

DEVOTION TO THE MOST SACRED HEART OF JESUS AND THE IMMACULATE HEART OF MARY

MEMORARE TO THE SACRED HEART
Remember, O most kind Jesus, that none who have had recourse to Your Sacred Heart, implored its assistance, or called for mercy, has ever been abandoned. Filled and animated by this same confidence, O Divine Heart, Ruler of all hearts, I fly to You, and oppressed beneath the weight of my sins, I prostrate myself before You. Despise not Your unworthy child, but grant me, I pray You, an entrance into Your Sacred Heart. Sustain me in all my combats and be with me now, and at all times, but especially at the hour of my death. O gracious Jesus! O amiable Jesus! O loving Jesus! Most Sacred Heart of Jesus, Have Mercy on us! Immaculate Heart of Mary, Pray for us! Most Sacred Heart of Jesus, Thy kingdom come!


                                                   
Behold Jesus who takes away the sins of the world.
Happy are those called to his supper.
Do you believe in the real presence of Jesus in the Eucharist ?


Wednesday, June 11, 2014

LETS PRAY!!

holy virgin mother, I have received your Son, Jesus Christ. With love you became his mother, gave birth to him, nursed him, and helped him grow to manhood. With love I return him to you, to hold once more, to love with all your heart, and to offer to the Holy Trinity as our supreme act of worship for your honor and for the good of all your pilgrim brothers and sisters.

# MYSTICS OF THE CHURCH # ( Incorruptible Saints )

ST. JOHN NEUMANN
St. John Neumann died in 1860 in Philadelphia at age 48. His body was later found incorrupt. He was the first American Bishop to be canonized a Saint. His remains are on display in a glass enclosed Altar in the lower Church of St. Peter the Apostle at 5th and Girard Streets in the Northern Liberties section of Philadelphia.
St. John Neumann, Pray for us

 

presence of Jesus

Behold Jesus who takes away the sins of the world.
Happy are those called to his supper.
Do you believe in the real presence of Jesus in the Eucharist ?


Monday, June 9, 2014

Bikira Maria Sanduku la Agano Jipya


 BIKIRA
MARIA; Kuzaliwa kwa Yesu ni mwanzo wa Agano Jipya na la milele na ni kilele cha ahadi ya Mungu kwa Daudi mtumishi wake. Mfalme Daudi ambaye Yesu amezaliwa katika ukoo wake, anakumbukwa daima na wana wa Israeli kwa sababu alilifanya taifa hilo kuwa imara na lenye nguvu kati ya mataifa mengine. Lakini hasa, mfalme Daudi anakumbukwa sana katika Historia ya Ukombozi kwa sababu yeye ndiye pekee aliyelienzi sanduku la agano kwa kulihamishia mjini Yerusalemu na kuamuru hekalu lijengwe. Sanduku la Agano la Kale lilitengenezwa kwa mbao na kupambwa kwa dhahabu. Ndani ya sanduku hilo kuliwekwa mawe mawili yenye kuandikwa Amri za Mungu juu yake. Wana wa Israeli walizitambua Amri za Mungu kuwa ni Neno la Mungu na wakalihifadhi ndani ya sanduku kwa heshima na uchaji mkubwa. Sanduku hilo likawa ni kielelezo cha uwepo wa Mungu kati yao. Ili kuonesha heshima kubwa zaidi, wana wa Israeli walijenga hekalu ambalo ndani yake kulitengwa chumba cha kuhifadhia Sanduku la Agano. Chumba hicho kilichoitwa patakatifu pa patakatifu. Sura ya Nne Sanduku la Agano Jipya Mnadhihirishwa kwamba mmekuwa barua ya Kristo tuliyoikatibu, iliyoandikwa si kwa wino, bali kwa Roho wa Mungu aliye hai; si katika vibao vya mawe, ila katika vibao ambavyo ni mioyo ya nyama. 2 Wakorintho 3:3 Tangu awali Kanisa linafundisha kuwa Mungu anafanya agano jipya na watu wake kwa kuongea na mioyo yao. Katika agano la kale Mungu aliongea na watu wake kwa njia ya Musa. Mtume Paulo anathibitisha tofauti kati ya agano la awali kwa njia ya Musa na agano la sasa kwa njia ya Yesu Kristo. Katika agano la awali Mungu aliandika Neno lake juu ya mbao mbili za mawe ambazo wana wa Israeli walidhihifadhi ndani ya sanduku la mbao lilipambwa kwa dhahabu. Katika agano la sasa Mungu ameandika Neno lake ndani ya moyo wa kila amwaminiye Kristo. Utabiri wa kufanyika kwa agano jipya na kuandikwa kwa Neno la Mungu ndani ya moyo wa mwanadamu ulifanywa na nabii Yeremia na nabii Ezekieli miaka mingi kabla ya Kristo: Bali agano hili ndilo nitakalofanya na nyumba ya Israeli, baada ya siku zile, asema Bwana: Nitatia sheria yangu ndani yao, na katika mioyo yao nitaiandika. Nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu. Yeremia 31:33 Nami nitawapa moyo mmoja, nami nitatia roho mpya ndani yao; nami nitauondoa moyo wa kijiwe katika miili yao, nami nitawapa moyo wa nyama, ili waende katika amri zangu, na kuyashika maagizo yangu, na kuyatenda; nao watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao. Ezekieli 11:19-20 Utabiri wa nabii Yeremia na Ezekieli ulitimia kwa Yesu Kristo, mwana wa Maria. Yesu Kristo ndiye Neno wa Mungu aliyekuja duniani na kuweka makao yake ndani ya mioyo ya watu wamwaminio. Katika Agano la Kale lililofanyika kwa njia ya Musa; Neno la Mungu liliandikwa juu ya mawe mawili na kuhifadhiwa ndani ya Sanduku la Agano. Katika Agano Jipya lililofanyika kwa njia ya Yesu Kristo; Neno la Mungu linaandikwa ndani ya mioyo ya wote waamini na sio tena juu ya mawe. Neno la Mungu ni Yesu mwenyewe na kila aaminiye na kumpokea anafanywa kuwa ni Sanduku la Agano Jipya: Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu. Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika……. Wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake; waliozaliwa si kwa damu, wala kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu. Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli……… Kwa kuwa katika utimilifu wake sisi sote tulipokea, na neema juu ya neema. Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Musa; neema na kweli zilikuja kwa mkono wa Yesu Kristo. Yohane 1:1-3, 12-14, 16-17 Bikira Maria ndiye wa kwanza kuwa ni Sanduku la Agano Jipya. Nyakati za utabiri wa manabii zilipotimia, Mungu alimtuma malaika Gabrieli kwa Bikira Maria ili kumpasha habari ya kuteuliwa kwake kuwa ni mama wa mkombozi. Bikira Maria aliamini, akaukubali uteuzi huo mtakatifu na akampokea Neno wa Mungu katika moyo wake na huyo Neno akafanyika mwili ndani ya mwili wa Bikira Maria na sisi tukampata mkombozi: Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu: Mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu kwenda mpaka mji wa Galilaya, jina lake Nazareti, kwa mwanamwali bikira aliyekuwa ameposwa na mtu, jina lake Yosefu, wa ukoo wa Daudi; jina lake bikira huyo ni Maria. Akaingia nyumbani kwake akasema, “Salamu uliyepewa neema, Bwana yu pamoja nawe.” Naye akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake, akawaza moyoni: salamu hii ni ya namna gani? Malaika akamwambia, “Usiogope, Maria, kwa maana umepata neema kwa Mungu. Tazama, utachukuwa mimba na kuzaa mtoto mwanamume; na jina lake utamwita Yesu. Huyo atakuwa mkuu, ataitwa Mwana wa Aliye juu, na Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi, baba yake. Ataimiliki nyumba ya Yakobo hata milele, na ufalme wake utakuwa hauna mwisho. Maria akamwambia malaika, “Litakuwaje neno hili, maana sijui mume? Malaika akajibu akamwambia, “Roho Mtakatifu atakujilia juu yako, na nguvu zake Aliye juu zitakufunika kama kivuli; kwa sababu hiyo hicho kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu, Mwana wa Mungu. Tena tazama, jamaa yako Elizabeti naye amechukua mimba ya mtoto mwanamume katika uzee wake; na mwezi huu ni wa sita kwake yeye aliyeitwa tasa; kwa kuwa hakuna neno lisilowezekana kwa Mungu. Maria akasema, “Tazama, mimi ni mjakazi wa Bwana; na iwe kwangu kama ulivyosema.” Kisha malaika akaondoka akaenda zake. Luka 1:26-38 Mimba ya Bikira Maria ilikuwa ni Neno la Mungu lililofanyika mwili ili likae pamoja nasi. Neno hilo ndani ya tumbo lake linamfanya Bikira Maria awe ni Sanduku la Agano Jipya kwa kuwa alisadiki na akajazwa neema toka kwa Mungu. Elizabeti ndiye aliyethibitisha kuwa Bikira Maria ni Sanduku la Agano Jipya. Wakati huo, Elizabeti pia alikuwa ana mimba: Basi, Maria akaondoka siku hizo, akaenda hata nchi ya milimani kwa haraka mpaka mji mmoja wa Yuda, akaingia nyumbani kwa Zakaria akamwamkia Elizabeti. Ikawa Elizabeti aliposikia kule kuamkia kwake Maria, kitoto kichanga kikaruka ndani ya tumbo lake; Elizabeti akajazwa Roho Mtakatifu; akapaza sauti kwa nguvu akasema, “Umebarikiwa wewe katika wanawake, naye mzao wa tumbo lako amebarikiwa. Limenitokeaje neno hili, hata mama wa Bwana wangu anijilie mimi? Maana sauti ya kuamkia kwako ilipoingia masikioni mwangu, kitoto kichanga kikaruka kwa shangwe ndani ya tumbo langu. Naye heri aliyesadiki; kwa maana yatatimizwa aliyoambiwa na Bwana…… Maria akakaa naye kadiri ya miezi mitatu, kisha akarudi kwenda nyumbani kwake. Luka 1:39-45, 56 Itaendelea

Wajawazito wadhalilishwa Ruvuma

WANAWAKE wajawazito katika kijiji cha Likuyuseka wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma wanadhalilishwa katika zahanati ya kijiji hicho kwa kujifungulia katika chumba ambacho kinatumika kutibu wagonjwa wa kawaida. Ingawa kijiji cha Likuyuseka kipo mpakani na mgodi wa madini ya urani uliopo ndani ya pori la akiba la Selous ambalo lilitangazwa na shirika la umoja wa mataifa la unesco mwaka 1980 kuwa ni urithi wa dunia, hakijafaidika na mradi huo kwa kujengewa hospitali ambayo inatoa huduma yenye viwango. Wakizungumza na kiongozi, akina mama hao wamesema zahanati hiyo haina chumba maalum kwa ajili ya kujifungulia, hivyo chumba cha kujifungulia ni mkabala na chumba cha wagonjwa wa kawaida hali ambayo inawadhalilisha wanawake wanaojifungua. “Kila kitu ambacho kinafanywa na muuguzi wakati anamsaidia mama mjamzito kujifungua, wagonjwa wengine wanasikia, hali hii inatudhalilisha sisi wanawake. Tunataka uongozi ujenge chumba maalum cha kujifungulia kwani wanawake wengine wanaona aibu kufika hospitalini kujifungua, badala yake wanajifungulia kwa wakunga wa jadi na kuhatarisha maisha yao,’’amesema Fatuma Rajabu. “Zahanati hiyo ina miundombinu mibaya kwani ukifika hapo unaona upande mmoja yupo daktari anayehudumia wagonjwa wa kawaida, upande wa pili muuguzi mkunga anayehangaika kuwahudumia akina mama wajawazito. Hivyo mwanamke akijifungua anasikika kwa wagonjwa wengine wakiwepo watoto, vijana na wanaume. hii ni aibu sana kwa mama anayejifungua ndiyo maana wengine hawaendi kujifungulia hapo,’’ameeleza Mariam Rashid. Mwenyekiti wa kijiji cha Likuyuseka Athuman Rupia amekiri zahanati ya kijiji hicho kukosa chumba maalum kwa ajili ya kujifungulia akina mama wajawazito hali ambayo imesababisha wajawazito kujifungulia sehemu ya chumba ambacho pia kinatoa huduma kwa wagonjwa wengine. “Akina mama wajawazito wanapata shida wakati wa kujifungua hali hiyo inaweza kuchangia kuongeza tatizo la uzazi usio salama kwa kuwa kuna taarifa kuwa baadhi yao hawafiki kujifungulia katika zahanati hiyo kwa sababu ya aibu. Wagonjwa wengine wanawasikia kitu ambacho kinawadhalilisha wajawazito. ndiyo maana katika hospitali nyingine kuna wodi maalumu ya wazazi ili kuboresha huduma hizo,” amesema. Hata hivyo hakuna utafiti ambao umefanyika kuzunguka katika vitongoji vya kijiji hicho ili kubaini idadi ya wanawake walioamua kujifungulia kwa wakunga wa jadi, lakini baadhi ya wanawake waliohojiwa wamedai kuwa kuna wanawake hawaendi kujifungulia katika zahanati hiyo kutokana na kuona aibu. Katika kukabiliana na hali hiyo mwenyekiti huyo amesema mwaka huu kijiji kimefyatua tofali kwa ajili ya ujenzi wa chumba cha kujifungulia wajawazito ili kuhakikisha kuwa tatizo hilo linapatiwa ufumbuzi wa kudumu na kulinda hadhi ya mwanamke ambaye ni nguzo ya familia katika jamii. Kaimu afisa mtendaji wa kijiji hicho Maulid Kapolo ameeleza kuwa licha ya kuwepo changamoto ya kutokuwepo chumba cha wazazi, tatizo la vifo vya mama na mtoto lipo lakini siyo kwa kiwango kikubwa kwa kuwa kuna madaktari na wauguzi wa afya wa kutosha na dawa zinapatikana kwa wingi katika zahanati hiyo inayohudumia watu zaidi ya 7000 . Wilaya ya Namtumbo ina vituo 43 vya kutolea huduma za Afya. Kati ya hivyo, vituo vya afya ni sita, vinne vya serikali na viwili vya shirika la dini, zahanati 37 kati ya hizo zahanati 34 za serikali na tatu zinamilikiwa na dini. Taarifa ya idara ya afya ya halmashauri ya wilaya ya Namtumbo imeyataja malengo makuu ya uboreshaji wa huduma za afya kuwa ni kuongeza kiwango cha chanjo kwa watoto chini ya miaka mitano kutoka asilimia 90 hadi 95 ifikapo 2015. Kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano na vifo vya akina mama vinavyotokea wakati wa kujifungua. Katika kutimiza malengo ya maendeleo ya milenia hususani lengo la tano la kupunguza vifo vya wajawazito, takwimu za wizara ya afya zinaonesha kuwa vifo vya wajawazito vimepungua kwa asilimia 21 kutoka vifo 578 kwa kila vizazi hai, kutoka vifo laki moja kati ya mwaka 2004/2005 hadi vifo 454 kwa kiwango hicho kati ya mwaka 2009/ 2010. Mganga mafawidhi katika hospitali ya rufaa mkoani Ruvuma Benedicto Ngaiza ameeleza mikakati ya kuboresha huduma katika hospitali hiyo kuwa ni kuongeza juhudi ya kuisaidia serikali ili kuzuia vifo vya wanawake ambavyo hutokea wakati wa kujifungua. Amesema licha ya juhudi kufanywa na serikali na wadau katika kupunguza vifo vya akina mama, bado takwimu zinaonyesha kwamba kuna kazi kubwa ya kufanya na kwamba inatakiwa kufanya kazi ya ziada ili kuhakikisha wanawake wote wanajifungua salama bila kifo kutokea. Wanawake 8,700 hufariki dunia kila mwaka nchini Tanzania kutokana na matatizo ya ujauzito na hasa wakati wa kujifungua. takwimu hizi zinaonesha takribani wanawake 24 hupoteza maisha kila siku huku ikikadiriwa kuwa mwanamke mmoja hufa kila baada ya saa moja. Hata hivyo sera ya afya ya mwaka 2007 inaeleza mipango madhubuti ya kuhakikisha huduma bora za afya zinapatikana katika kila kata ambapo kila kijiji kinatakiwa kuwa na zahanati na kila kata iwe na kituo cha afya na wataalamu wenye taaluma. Vingi kati ya vifo hivi vingeweza kuzuilika kama huduma za dharura zingekuwepo katika vituo vya tiba wakati wa kujifungua. Huduma zenyewe ni kama vile chumba cha upasuaji na wataalamu wake, vifaa tiba na uwezekano wa kuongezewa damu. “Si sahihi mama mjamzito kufa wakati wa kujifungua au kupoteza uhai wake kwa kuleta kiumbe kingine duniani, hii haiwezi kukubalika. na inasikitisha zaidi pale maisha ya mama huyu yanapotea hata kwa mambo ambayo yanaweza kuzuilika,” amesema Rais Kikwete katika hotuba yake mbele ya katibu mkuu wa umoja wa mataifa, Ban Ki-Moon. Sera ya afya inaeleza wazi kuwa serikali kwa kushirikiana na wananchi na wadau wengine yakiwemo mashirika mbalimbali itahakikisha inaboresha huduma za afya ili ziwe na mazingira mazuri na vifaa tiba. Hata hivyo sera hiyo inakwenda kinyume na hali halisi unapofika kwenye vituo vya kutolea huduma za afya hasa vijijini mazingira siyo rafiki. Mazingira ya zahanati ya kijiji cha Likuyuseka yanafanana na mazingira mabovu ya kutolea huduma ya mama na mtoto katika baadhi ya zahanati, vituo vya afya, hospitali za wilaya, mikoa na hata hospitali za rufaa katika nchi nzima.

Balozi wa Papa nchini afanya utume Same

MAKANISA mawili katika Jimbo Katoliki Same yametabarukiwa katika nyakati tofauti na Balozi wa Papa hapa nchini pamoja na askofu wa Jimbo hilo Rogath Kimaryo. Makanisa hayo ni Kanisa la Mtakatifu Yoseph Mfanyakazi kigango cha Lomwe katika parokia ya Mtakatifu Yuda Thadei Usangi lililotabarukiwa na Askofu Mkuu Fransisko Padilla, na Kanisa la Familia Takatifu Parokia ya Lembeni lililotabarukiwa na Askofu Rogath Kimaryo CSSP wa Jimbo Katoliki Same akishirikiana na Askofu Paul Semugerere wa Uganda. Balozi wa Vatikani nchini Askofu Mkuu Fransisko Padilla amepokelewa kwa shangwe na mwenyeji wake Askofu Rogath Kimaryo wa Jimbo Katoliki Same pamoja na waamini wakiwepo mapadri, watawa na waamini walei. Akitabaruku Kanisa la Mtakatifu Yoseph Mfanyakazi kigango cha Lomwe katika parokia ya Mtakatifu Yuda Thadei Usangi jimboni humo, Askofu Mkuu Padilla amewaasa waamini watambue wajibu wao kutegemeza Kanisa pamoja na paroko wao. “Mtambue kuwa, Kanisa la Mungu hapa Lomwe lina watu wenye uwezo mbalimbali wakimwemo wakulima, waajiriwa, wafanyabiashara ndogondogo na wafugaji. Hivyo lazima kujenga muungano wa sisi kwa sisi ili kusambaza injili ya Kristo katika eneo hili,” amesema Askofu Mkuu Padilla. Amesisitiza kujenga parokia katika msingi wa imani na hivyo kuwapokea wahitaji wa aina mbalimbali kiroho na kimwili. Aidha amesisitiza wanakanisa kusali na kuonesha matendo ya huruma kwa watu wote. Amewataka wajisikie furaha kulea miito ili siku moja kuwepo padri na watawa kutoka katika kigango hicho ili kushusha nyavu kuvua pamoja na Yesu. Amewataka waamini wajenge juhudi katika kuvua si wale tu wasiofahamu bali pia na wale walegevu na hivyo kuonesha sura ya Kristo kwa watu wote. “Tuogope kujihubiri wenyewe bali kumhubiri Kristo aliyekufa na kufufuka.” Balozi Padilla amekazia. Ameongeza “Ni vema kutafuta kondoo waliopotea tukiwapenda wote na kuwalinda huku tukiwapa tumaini la daima.” Askofu Mkuu Padilla amesisitiza kuwa jengo hilo liwe kweli nyumba ya sala na majadiliano ya kiroho. “Kwa kufungua na kubariki jengo hili basi mioyo ifunguliwe na kuguswa na Mungu. Kwa njia hiyo kuwepo mahusiano na masikilizano tukijua kuwa sote tu familia moja ya Mungu.” Ametoa mwito kwa wakristo kuwa na tabia ya kukubali mawazo ya wengine ili kuimarisha si idadi ya watu bali nguvu ya imani. Ili kufanikisha hayo, amewataka wote kujenga moyo wa kurithisha imani kwa watoto ili kuilinda na kuitetea kwa mapendo. Akistaajabu mandhari ya Lomwe Usangi, Askofu Mkuu Padilla amesema Wakristo katika eneo hilo lililopo katika milima ya upare wajivunie kwa vile wako juu karibu na mawingu hivyo, wako karibu na Mungu na Baraka za Mungu huwafikia kwa haraka. Wakati wa kutabaruku Kanisa hilo, Askofu Mkuu Padilla alibatiza watoto kumi waliokuwa wameandaliwa kama ishara maalum kwa utume wa Kristo wa kuwabatiza na kuwafundisha. Aidha ameongoza misa takatifu katika Kanisa Kuu la Kristo Mchungaji Mwema Same ambapo alitoa sakramenti ya kipaimara kwa waamini mia moja na ishirini na tano, na baadaye kuweka jiwe la msingi katika nyumba ya mapadri na kubariki Groto ya Bikira Maria iliyopo katika uwanja wa Kanisa Kuu la Jimbo hilo. Pia ametembelea Parokia mama ya Jimbo ambayo ni Parokia ya Kilomeni na kubariki kikanisa cha masista. Hapo amewaasa wafurahi kwani kuwa juu ya milima ni kuwa karibu na mbingu na karibu na Mungu hivyo hupokea Baraka za Mungu kabla ya wengine. Katika adhimisho hilo walihudhuria pia Waziri Mkuu Mstaafu Cleopa David Msuya (Baba wa Mwanga), Mkuu wa Wilaya ya Same Herman Kapufi na wageni wengine kutoka madhehebu mbalimbali ya Kikristo na serikali. Uongozi wa parokia umewashukuru wafadhili mbalimbali walioshiriki kujenga Kanisa hilo akiwemo Askofu Rogath Kimaryo, Paroko wa parokia hiyo Wilehard Mduma, Bw. Lameki Mlacha, Bw. Cassian Njowoka na wengine. Pia umewashukuru waliotoa eneo kwa uwanja wa Kanisa na pia kwa barabara ya kufika kanisani. Kutabaruku Kanisa Parokia ya Lembeni Akitabaruku Kanisa la Familia Takatifu Parokia ya Lembeni Jimboni Same, Askofu Rogath Kimaryo CSSP ametoa wito kwa waamini Wakatoliki kutunza majengo ya Kanisa ili yasiwe magofu bali kuonesha heshima ya pekee kwa Mungu ndani ya hekalu lake. “Tutunze nyumba ya Baba wala tusiichezee isije ikageuka gofu kwani kama tukiwa sisi tu wachovu wa imani jengo hili litakuwa kama gofu. Tusijaribu kupingana na hekalu la Bwana, yaani tusiwe kinyume, tusipinge Kanisa na daima tutambue kuwa Yesu ndiye silaha yetu. Sisi kama alivyokuwa Yesu tuwe na wivu na nyumba ya Baba,” amesema Askofu Rogath. Ameendelea, “Kutabaruku Kanisa hili kulete nguvu kwa njia ya Baraka ya Kanisa hili na tukwepe kuruhusu wachungaji wanaopitia madirishani, tuwakaribishe wote kwani wanapofika hawatarudi mikono mitupu kwani ni nyumba ya Mungu.” Amesisitiza kuwa, waamini ndiyo hekalu la Mungu yaani mawe yaliyo hai, hekalu la kweli na jiwe hai ambalo lilikataliwa na makandarasi lakini likawa jiwe kuu la pembeni. Kwa jinsi hiyo amewaasa wote walioshiriki waepukane na hali ya kutafuta kuangukiwa na jiwe hilo au kujikwaa katika jiwe hilo maana wakifanya hivyo hawatafaulu wala kupona. Aidha ameeleza jinsi waana wa Israeli walivyokaa uhamishoni Babeli na walivyorudishwa kwao kwa uongozi wa Nehemia aliyekuwa kiongozi aliyejaa unyenyekevu; na jinsi Nehemia alivyowataka watu wamjengee Mungu nyumba ya kuabudia kama utambulisho wao wakizingatia kuwa hekalu lilishabomolewa. Amesema kuwa siku hiyo ni siku ya Wanalembeni kufurahi na kumshukuru Mungu kwa makuu aliyowafanyia. Tusugue magoti yetu katika Kanisa hili kujiombea na kuombea wafadhili wetu ili neema za Mungu ziendelee kumiminika ndani mwetu. Askofu Rogath amewashukuru Mapadri hususani Paroko wa parokia hiyo padri Vicent Ndemchilio, wafadhili mbalimbali akiwemo Waziri Mstaafu Bw. Cleopa Msuya na Virani Mkomba kwa majitoleo yao ya kupenda maendeleo, na mshikamano bila kujali dini au dhehebu. Bw. Virani ameshirikisha yake ya moyoni akitanabaisha kuwa, kazi hiyo ilianza kwake kama njozi ambayo alimshirikisha mke wake na wazazi wake. Kwa nia njema wote waliafiki maono yake kuwa amjengee Mungu Kanisa. “Ieleweke kuwa thamani ya kujenga Kanisa ni kubwa na imegharimu vingi na kwa vile ni sadaka siyo majigambo itabaki siri moyo mwangu.” amesema Virani na kuendelea kuwa, “Ninawashukuru wafanyakazi wa kampuni ya VIGU kwa kufunga mkanda na kujitoa ili kufanikisha kazi hii ya kumpa Mungu heshima.” Parokia hiyo imejenga Kanisa jipya kuanzia April 13, 2013 na kutabarukiwa Mei 29, 2014, baada ya kuvunja Kanisa la zamani lililojengwa 1970.


IMG-20140603-WA0006

dont miss this movie Noah's ARK

God with Moses

God said to Moses: "Now write down these words I've made a covenant with you and Israel." Moses was there with God forty days and forty nights. He didn't eat any food; he didn't drink any water. And he wrote on the tablets the words of the covenant, the Ten Words. ~Exodus 34:27-28 MSG~

 Photo: God said to Moses: "Now write down these words I've made a covenant with you and Israel." Moses was there with God forty days and forty nights. He didn't eat any food; he didn't drink any water. And he wrote on the tablets the words of the covenant, the Ten Words. ~Exodus 34:27-28 MSG~

Jesus is Lord!

Everyone will know that Jesus is Lord! Say 'Amen' if you believe this is true!

Photo: Everyone will know that Jesus is Lord! Say 'Amen' if you believe this is true!!!

Saturday, June 7, 2014

May the Holy Spirit fill our hearts with his gifts. Amen

COME HOLY SPIRIT AND FILL THE HEART OF THE FAITHFUL.
OH! COME OUR GREATEST FRIEND WE NEED YOU IN OUR LIVES.
COME OUR COMFORTER..
COME
COME
COME
RAIN ON US LIkE A FIRE OF TONGUE.

LOVE; WHAT IT IS, WHAT IT IS LOVE; WHAT IT IS, WHAT IT IS NOT



Love is transformational, its intense heat is geared towards Change and Union. The force that comes from God BINDS; calls together, causes a "Communio" a "Koinonia" a "Communion" of persons with persons, of persons with God.

This is what Love is: The giving of self, the 'loss' of an identity; the entire submission to another, the rediscovery and newness of identity in/with another.

Love is not just possessing but being possessed. That One is possessed by another, and the other by the One; that in possessing they actually aren't possessive, but most humbly submit themselves to be melted and remoulded regularly into One Body, and One Spirit.

This is what love is: Humility and service, forgetfulness and docility, purity of intention and generosity, faith and trust, and finally childlike trust and something of (not literally) risky "stupidity"; one of trusting entirely and without reserve. This is what love is.

Love is not a mere feeling meant to be played with by the young and inexperienced, the fire burns !

Love is not possession as though one is a commodity.
Love is not lies and deceit, love is not fear of being lied to/cheated.
Love is not distrust and fear of loss.
Love is not impurity and covetous selfishness.
Love is not material things or qualities in a person.
Love is not for a while; a trial run; a momentary stuff meant to be discarded later.

Love is powerful flames, it burns, transforms, and illumines
Love is eternal union, nothing quenches it
Love is purity, no ill can taint it
Love is above the lovers, cannot be controlled at will by each; a law they both submit to !

Indeed what 90% (or just to be fair 70%) of people have is either lust or childish infatuation, if people knew how sacred love is, they'd recognize that Only the Almighty can confer the gift of perfect/selfless Self-giving. Which is a grace that comes ONLY FROM GOD, and is an INDISPENSABLE sign of love; of true love.

Show me where two people love themselves thus, and i will point you where the Seraphim* camp beside them !

Just thinking:)


Communion of Saints; Praying through Mary

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEirVfXVX7IBxxfI6vRuihzn9Djtqnk2HRscMJG9_BMlEefrw15mUpvM8FzznS2cixTUVl7QjgLsp6YRqGZ_GvTwEpCsdVtgHpMxl0UhI3GUBMP1TJnQZnKajzIfwJpemZ_2PkTFHk_6-jA/s1600/communion-of-saints.jpg

Praying through Mary is not expressly written in the Bible, it is rather an outcome of a mature understanding of the "Communion of Saints". We the Church believe, as taught by St Paul, that "we are one body, one Spirit in Christ". To the mind of the Church, this has a certain literalness in terms of religious actions. So that when you do good, the entire body is healthy and is affected and when you sin, you affect the entire body. When you pray as well the other members (parts) of this body is equally affected.

Christ came to the world as man and God, establishing his authority and dominion as Lord of the Living, both because he lived, died and resurrected. But also Lord of the dead because through this resurrection he conquered death. Since life springs from him only, and since he has walked the roads of the underworld, he himself has power that penetrates the grave.

This power is also inherited by his Body the Church, so that she is never torn apart or broken by death. NO ! She is actually strengthened by the death of a faithful since her glory shines as more members are glorified.

These glorified members since they are still attached to Christ's body also help in its nourishment. So that when they praise God by chants, or pray to Him, the effects reach the entire body; the effect reach you and me. So even without asking for it, the saints pray for us. And we can raise our hearts to them since we're bound; one body and spirit in Christ to aid us in our needs.

DO YOU KNOW THE SEVEN GIFTS OF THE HOLY SPIRIT?

THE SEVEN GIFTS OF THE HOLY SPIRIT

1. Wisdom
2. Understanding
3. Right Judgement
4. Courage
5. Knowledge
6. Reverence
7. The Spirit of Wonder and Awe in the presence of the Lord

Prayer to Our Lady in Time of Trouble

Holy Virgin Mary, you are reigning in glory, with Jesus, your Son. Remember us in our sadness. Look kindly on all who are suffering or fighting against any difficulty. Have pity on those who are separated from someone they love. Have pity on the loneliness of our hearts. Have pity on the weakness of our faith and love. Have pity on those who are weeping, on those who are praying, on those who are fearful. Holy Mother, please obtain for all of us hope and peace with justice. Amen.

A great prayer

“A great prayer for life is urgently needed, a prayer which will rise up throughout the world. Through special initiatives and in daily prayer, may an impassioned plea rise to God, the Creator and lover of life, from every Christian community, from every group and association, from every family and from the heart of every believer.”


Friday, June 6, 2014

VIDEO YA WIMBO Inavuma, Kwaya ya mt. Kizito - Makuburi, mtunzi. B. Mukasa.wmv

SAY THIS PRAYER BEFORE YOU SLEEP

Jesus, Mary, Joseph : I give you my heart and my soul, Jesus, Mary, Joseph : assist me in my last agony of death, Jesus, Mary, Joseph : may I sleep and rest in peace with you. Amen. Goodnight ! Remember to share !.

bread and wine

When we eat this bread and drink this cup we proclaim your death oh Lord, till you come again !

Faida ya Maziwa ya Mama kwa mtoto

MTOTO anayezaliwa akiwa hai kitu cha kwanza anachokifanya ni kuvuta hewa. Baada ya hapo anaendelea na matendo mengine kama kulia, kucheka, kunyonya na mengineyo mengi anayoyafanya kadri umri wake unavyoongezeka. Mtoto huyo ili akue akiwa na afya iliyo bora anatakiwa kupewa maziwa ya mama ambapo Shirika la Afya Duniani (WHO) linapendekeza mtoto anyonye maziwa ya mama pekee hadi miezi sita ya kwanza bila kupewa chakula kingine chochote. Njia ya kawaida ya kupata maziwa ya mama ni ile ya mtoto kunyonya kutoka kwa mama yake mwenyewe au kukamuliwa maziwa hayo na kunyonyeshwa kupitia vifaa kama chupa, kikombe au kijiko kama kuna sababu la msingi. Mtoto mchanga anatakiwa kunyonya siyo chini ya mara kumi kwa siku. Mtoto huanza kupewa vyakula vya ziada kuanzia umri juu ya miezi sita ambapo maziwa ya mama huwa kama nyongeza hadi angalau miaka miwili na zaidi. Mtoto anaponyonyeshwa maziwa ya mama huwa katika hali nzuri zaidi kiafya na kuweza kupunguza hatari zinazoweza kujitokeza endapo mtoto atakosa maziwa ya mama ikiwa ni pamoja na hatari ya kifo cha ghafla kwa mtoto mchanga. Licha ya mtoto pia mama anayekuwa ananyonyesha hupata faida nyingi akinyonyesha. Faida hizo ni pamoja na kurejesha uterasi katika hali yake ya kawaida na kupunguza kutokwa na damu nyingi baada ya kujifungua pamoja na hatari ya kupata saratani ya matiti. Wingi wa maziwa ya mama hutegemeana mara ngapi mama hunyonyesha na/au kusukuma maziwa, mama anayenyonyesha mtoto wake zaidi au kukamua, ndivyo anavyotoa maziwa zaidi. Unyonyeshwaji wa mtoto unatakiwa kufuata matakwa ya mtoto wakati gani anataka kunyonya na siyo kufuata ratiba anayokuwa amepanga mzazi. Maziwa huanza kutoka baada ya kujifungua chini ya ushawishi wa homoni ambazo huchochewa zaidi mtoto anaponyonya mara baada ya kuzaliwa tu. Hii husaidia kulinda mtoto mchanga mpaka mfumo wa kinga yake unafanya kazi vizuri na inajenga athari ya kupumzika, huondoa mekoniamu na kusaidia kuzuia kujengwa upya kwa bilirubini (sababu muhimu ambayo huchangia ugonjwa wa macho kugeuka manjano). Maziwa ya mama ni chakula na kinywaji cha kwanza, na cha pekee kwa mtoto tangu kuzaliwa kwa hadi kufikia umri wa miezi sita. Maziwa ya mama ndiyo chakula bora kwa mtoto mchanga kuliko maziwa mengine au chakula kingine chochote ambacho anaweza kupewa mtoto. Mtoto anapofikia umri wa miezi sita anatakiwa kupewa vyakula vingine laini vya nyongeza huku akiendelea kunyonyeshwa maziwa ya mama hadi kufikia miaka miwili au zaidi. Umuhimu wa kunyonyesha Mama anayenyonyesha huweza kupunguza gharama ambazo angezitumia kununua maziwa au vyakula vya kumpatia mtoto.Gharama zinazotumika ni kidogo sana ambapo gharama hizo utumika kununua vyakula vya mama kula wakati wa kunyonyesha. Licha ya kupunguza gharama utafiti unaonyesha kuwa kuna manufaa mengi ambayo mama anayapata akimnyonyesha mtoto yakiwemo ya kuwa na afya bora, kupunguza uwezo wa kupatwa na baadhi ya saratani na manufaa mengine ya kisaikolojia. Mtoto anayekuwa anahitaji protini,mafuta,vitamini madini,homoni na virutubisho vingine muhimu ambavyo havipatikani sehemu vyingine iliyo sahihi tofauti na maziwa ya mama. Pia mtoto anaponyonyeshwa na mama anapata kinga mwilini mwake inayomkinga na maambukizi ya maradhi mbalimbali yanayoweza kumpata kama hatokuwa amenyonya maziwa ya mama. Mtoto anayenyonya maziwa ya mama anakuwa na kinga ya asili inayopatikana kwenye maziwa ya mama peke yake ambayo pia yanavirutubisho vyote. Mama anayemnyonyesha mtoto wake anakuwa na uhusiano mzuri kati yake na mtoto. Daktari huyo anasema kuwa mtoto anatakiwa kunyonya maziwa ya mama labda kama kuna tatizo la mama kufariki au sababu nyingine ambayo imedhibitishwa na daktari. Tofauti ya maziwa ya mama na mengine Maziwa ya mama yana tofauti na maziwa ya wanyama wengine wa aina ya mamalia. Maziwa ya mama yanakuwa tofauti na ya wanyama wengine kutokana na kila mnyama kuwa na tofauti katika muundo wa maziwa. Maziwa ya ng’ombe hayana vitamini E vya kutosha, chuma au asidi za mafuta muhimu kama yalivyo maziwa ya binadamu.Hali hiyo inaweza kusababisha upungufu wa damu kwa watoto wanaopewa maziwa ya ng’ombe. Matatizo yanayojitokeza wakati wa kunyonyesha Daktari Msaidizi wa Kituo cha Afya Kwenda Wilayani Karagwe, Dk Aristides Ruhikula anasema kuwa yapo baadhi ya matatizo yanayoweza kujitokeza wakati wa kunyonyesha ikiwa ni pamoja na mama kuvimba matiti yote au titi moja Sababu hii inaweza kujitokeza pale mama anaposhindwa kumnyonyesha mtoto wake ipasavyo ambapo hali hiyo inaweza kuendelea na kutoa jipu. Hali hiyo inatakiwa kudhibitiwa kwa kukamua maziwa ili kuyapunguza na kumyonyesha mtoto ili titi kurudi katika hali yake,hali hiyo haiathili ubora wa maziwa ya mama. Aidha mwanamke aliyechelewa kumnyonyesha mtoto mara baada ya kujifungua anaweza kuhisi kuwa hana maziwa hivyo anatakiwa amnyonyeshe mtoto wake ili kuweza kupata maziwa. Zaidi ya asilimia 98 ya wanawake huwanyonyesha watoto wao, na wengi wao huendelea kuwanyonyesha hadi kufikia umri wa miaka miwili au zaidi. Pamoja na jitihada za wanawake wengi kunyonyesha watoto wao, zipo kasoro zilizoanza kujitokeza kwa baadhi ya wanawake kukataa kuwanyonyesha watoto wao kwa sababu zao binafsi.Miongoni mwa sababu wanazozitoa ni pamoja na kuzeeka mapema watakapowanyonyesha watoto wao. Mama anayenyonyesha anatakiwa kuzingatia chakula anachokula.Mama huyu anatakiwa kula milo mitatu kila siku. Chakula hicho kinatakiwa kuwa mchanganyiko wa vyakula mbalimbali vinavyopatikana kwa urahisi katika mazingira anayoishi pamoja na mboga za majani na matunda pamoja na maji safi yaliyochemshwa. Ni muhimu jamii itambue umuhimu na kuzingatia lishe bora kwa mama anayenyonyesha. Pia mama huyo anatakiwa kupata muda wa kupumzika angalau dakika 30 kila siku mchana. Kwa wale wanawake wanaofanya kazi hivyo kulazimika kuwaacha watoto wao nyumbani kabla ya miezi sita Dk Ruhikula anashauri kuwa wanatakiwa kukamua maziwa yao na kuyahifadhi ili yatumike kwa ajili ya mtoto. Njia anayoshauri katika kuyahidhadhi ni kuyaweka katika chupa ya chai iliyo safi ili yaweze kubaki na joto lake linalohitajika tofauti na kuyaweka kwenye jokofu au sehemu nyingine ambazo zinaweza kupoteza joto lake.

imani za Freemason

ASKOFU Severine Niwe-Mugizi wa Jimbo Katoliki Rulenge-Ngara, amekemea tabia iliyoanza kujitokeza katika siku za hivi karibuni ya baadhi ya watu hususani vijana, kuabudu mashetani kupitia Imani ya Freemason.
Ametoa kauli hiyo katika Ibada ya Misa Takatifu kwenye Dominika ya sita ya Pasaka ambapo vijana 250 wamepata Sakramenti ya Kipaimara. Ibada hiyo imefanyika katika Parokia ya Mtakatifu Theresia wa Mtoto Yesu- Buseresere Askofu Niwe-Mugizi amebainisha kuwa ni aibu jamii ya sasa, hususani vijana kuamua kuishi kadiri watakavyo, wakidhan kuwa hakuna taratibu na miongozo ya Kanisa. “Wapo watu ambao wanapata mali kwa njia za kishirikina na hatimaye wanashangiliwa na jamii kwa ushindi walioupata,” amesema. Akizungumza kwa msisitizo, amesema jamii ya sasa imehalalisha maovu na wale wanaoyatenda wanashangiliwa. “Inashangaza kuona watu wanashangiliwa kwa maovu badala ya kushangiliwa kwa mema, hii siyo sahihi,” amesema. Imani ya kishetani Askofu Niwe-Mugizi ameendelea kueleza kuwa kadiri siku zinavyosonga, ndivyo vijana wanavyoendelea kuharibika. “Jamii ya sasa hushawishika kirahisi na kujiingiza katika tabia chafu na mbaya zaidi madawa ya kulevya na hatima wanajikuta wanatumbukia katika dimbwi la kuabudi mashetani (Freemason) ili wajipatie mali za haraka bila kutafakari madhara yake,” anasema Amewaasa vijana hao waliopata Sakramenti ya Kipaimara kuwa makini na mambo ya ulimwengu na kuepuka kudanganyika, kushawishika hasa kupenda mali zisizo za halali. Kuhusu siasa Katika hatua nyingine Askofu Niwe-Mugizi amegusia suala zima la Wakristo Wakatoliki kudharau masuala ya siasa na kufikiri kuwa wao siyo sehemu ya maisha hayo. “Mwaka huu Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba, baada ya chaguzi za Serikali za Mitaa na uchaguzi mkuu mwakani. Kuna tatizo la baadhi ya waamini kutoshiriki,” akasema Amekemea tabia ya baadhi ya waamini kubweteka na kutotimiza wajibu wao kihalali wa kwenda kupiga kura kuwachagua viongozi wanaofaa bila kujali itikadi ya vyama vyao. “Tendo hili la mtu kutoenda kupiga kura ni dhambi ya kutotimiza wajibu,” amesema.

PRAYER

O God, who by the glorification of your Christ
and the light of the Holy Spirit
have unlocked for us the gates of eternity,
grant, we pray,
that, partaking of so great a gift,
our devotion may grow deeper
and our faith be strengthened.
Through our Lord Jesus Christ, your Son,
who lives and reigns with you in the unity of the Holy Spirit,
one God, for ever and ever.

Thursday, June 5, 2014

CHATU AUWAWA KANISANI





Pichani ni nyoka aina ya chatui aliye uwawa na wananchi wenye hasira na kinacho semekana kua nii imani za kishirikina. nyoka huyu alikutwa kwenye nyumba ya mfanya biashara maarufu jijini arusha jina linahifadhiwa ambapo jitihada za kumpata mtuhuyo hazikuzaa matunda.

download wimbo Bwana ni ngome yangu MT Theresia Arusha

DID YOU KNOW?

 You can use steel wool to:
Fill a screw hole that has become too big for the screw.  Stuff the hole with steel wool and re-insert the screw. Make an instant pincushion.  Stuff an old sock with steel wool and tie tightly for a pincushion that will keep pins and needles rust free. Repel kitchen pests, by placing steel wool around the pipes under the sink.
You can use nail polish remover to:
Remove sticker residue from glass objects. Unstick your fingers after a superglue mishap. Remove marker and ink from appliances, glass, and stainless steel.
 You can use olive oil to:
Revitalize leather shoes and baseball gloves. Clean greasy hands. Repel moles in the yard.  Soak a cloth in olive oil and stuff it into the mole hole.  Moles hate olive oil!
 You can use cola to:
Remove grease stains from the garage floor. Clear a sluggish drain. Loosen a bolt that is rusted on.  Remove stubborn stains from the toilet.  Pour in the cola and wait one hour before scrubbing.








lets pray

May your Spirit, O Lord, we pray,
imbue us powerfully with spiritual gifts,
that he may give us a mind pleasing to you
and graciously conform us to your will.
Through our Lord Jesus Christ, your Son,
who lives and reigns with you in the unity of the Holy Spirit,
one God, for ever and ever.

dowload wimbo Mt Theresia Arusha - Nimeonja pendo lako hapa